About Station
Kama ni Ijumaa basi ni wakati wa #JiachilieFridayShow! Tunajua unahitaji kupumzika na kusahau shida za wiki. Kuanzia saa nne usiku, tunakuletea mziki mzuri wa kusisimua na wa kuburudisha, kutoka kwa wasanii wote unaowapenda wa Kenya na kimataifa. Ni wakati wa kukaa chini na marafiki, familia, au hata peke yako, na kutusikiliza tunapokupa vibe safi ya Ijumaa. Tunakupa habari za burudani, stori za kuchekesha, na mengi zaidi. Usikose #JiachilieFridayShow, ambapo kila Ijumaa ni kama likizo! Tune in!